MOJA ya changamoto ya TOP TEN SHOW ilikuwa ni urefu wa mashindano yenyewe yalianza mwaka 1988 na kuisha mwishoni mwa mwaka 1989. Sikiliza hapa jinsi walivyotajwa washindi na nyimbo walizopiga live baada ya kutajwa.
10. Orchestra Safari Sound Ndekule - Elimu ni msingi wa maisha
9. Mwenge Jazz band - UKIMWI
Toa maoni ............
Mashindano yalianza mwaka 1988 na kumalizika mwaka huo huo. Yalishirikisha jumla ya Bendi 27 za muziki kwa kila wiki kuwa na bendi moja. Yalianza mwezi February yakamalizika Oktoba.
ReplyDeleteMashindano haya yalikuwa ni katika sherehe za Umoja wa Vijana kutimiza miaka 10 yaani mwaka 1987.
ReplyDeleteYalianza mwaka huo huo na kuisha mwaka 1988