Katika mtiririko wa washindi wa Top Ten Show, Mwenyekiti wa jopo la majaji Dr Alex Khalid aliwatangaza Varda Arts na wimbo wao Tazama Tanzania kuwa ni washindi wa 8, na Super Matimila na wimbo wao Muziki asili yake wapi kuwa washindi wa 7. Sikiliza hapa live kilichojiri siku hiyo.......kumbukumbu kutoka maktaba ya John Kitime
No comments:
Post a Comment