Wednesday, March 1, 2023

HOTUBA YA DR ALEX KHALID KWENYE FAINALI YA TOP TEN SHOW 1988, UTADHANI ANAONGELEA HALI YA LEO (Part 1)

MWISHONI  mwa mwaka 1989 na mwanzoni mwa 1990 lilifanyika shindano kubwa la kupata nyimbo bora lililojulikana kama Top Ten Show. Bendi nchi nzima zilishiriki, RTD ilipita mikoa mbalimbali na kurekodi maonyesho 'live' ya bendi ambazo zilikuwa ndani ya mashindano hayo. Hatimae siku ya kilele ilifika, sasa hebu sikiliza hapa uchambuzi wa mwenyekiti wa jopo la majaji wa shindano lile Marehemu Balozi Dr Alex Khalid akichambua yaliyojiri, utadhani anaongelea muziki wa dansi leo, miaka 42 baadae. 

Je ina maana bendi bado ziko palepale zilipokuwa 1988?

 Toa maoni yako



No comments:

Post a Comment