nakumbuka sana wakati wanapiga Super Mini Bar Temeke. Nilikuwa mdau na mara kwa mara nilikuwa nadoea gari la Dk Aleex Khalid ambaye inadaiwa alifadhili bendi na alikuwa mmiliki wa Makondeko club. ni miaka ya 1983/86. Kiki anajua sana kuwa nilikuwa mpenzi wao.,
nakumbuka sana wakati wanapiga Super Mini Bar Temeke. Nilikuwa mdau na mara kwa mara nilikuwa nadoea gari la Dk Aleex Khalid ambaye inadaiwa alifadhili bendi na alikuwa mmiliki wa Makondeko club. ni miaka ya 1983/86. Kiki anajua sana kuwa nilikuwa mpenzi wao.,
ReplyDeletejitaje jina basi
ReplyDelete