| Mafumu Bilali Bombenga na Yusufu Bernard wapiga Sax mahiri wenye uzoefu wa miaka zaidi ya 30 |
| Shaaban Dede na King Kiki waimbaji na watunzi ambao wamekwisha tunga nyimbo nyingi maarufu. |
| Mzee Muhidin Gurumo na Mzee Said Mabela wakongwe wa msondo wamedumu katika sura ya muziki wa Tanzania toka miaka ya sitini bila kupotea |
| King Kiki, Shaaban Dede, Bitchuka, Kabeya Badu majina ya waimbaji amabyo yamekuweko hewani zaidi ya miaka 30 |
No comments:
Post a Comment