| Binti pekee wa marehemu akiwa na mumewe wakiweka shada la maua |
| Baadhi ya wanamuziki waliohudhuria mazishi ya Brother Zeno |
| Aliyekaa ni Abdallah Mbosanga mmoja ya wanamuziki wawili waliobaki hai wa bendi ya Bima Jazz band ya kwanza. Mwingine ni Duncan Ndumbalo |
