Friday, June 23, 2017

SHAABAN DEDE ANAUMWA AMELAZWA MWAISELA NO 5

Mwanamuziki mkongwe Shaaban Dede 'Kamchape' amelazwa leo katika hospitali ya Muhimbili wadi ya Mwaisela No 5. Wapenzi wa muziki tumkumbuke katika swala zetu.

No comments:

Post a Comment